• Sunrise At: 7:08 am
  • Sunset At: 5:03 pm
Go to Allah Before its to Late

Islamic: 23 Dhuʻl-Qiʻdah 1446 AH - Mon, Apr, 27, 2026

  • Fajr:3:25 am
  • Dhuhr:12:04 pm
  • Asr:5:00 pm
  • Maghrib:7:06 pm
  • Isha'a:8:45 pm
Sec Bottom Mockup

73: سورة المزمل

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ

In the Name of Allah—the Most Compassionate, Most Merciful.

Small toggle button
73:1
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلْمُزَّمِّلُ ١

yāayyuhā l-muzamilu


  Ewe uliye jifunika!

Small toggle button
73:2
قُمِ ٱلَّيْلَ إِلَّا قَلِيلًۭا ٢

qumi al-layla illā qalīlan


  Kesha usiku kucha, ila kidogo tu!

Small toggle button
73:3
نِّصْفَهُۥٓ أَوِ ٱنقُصْ مِنْهُ قَلِيلًا ٣

niṣ'fahu awi unquṣ min'hu qalīlan


  Nusu yake, au ipunguze kidogo.

Small toggle button
73:4
أَوْ زِدْ عَلَيْهِ وَرَتِّلِ ٱلْقُرْءَانَ تَرْتِيلًا ٤

aw zid ʿalayhi warattili l-qur'āna tartīlan


  Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.

Small toggle button
73:5
إِنَّا سَنُلْقِى عَلَيْكَ قَوْلًۭا ثَقِيلًا ٥

innā sanul'qī ʿalayka qawlan thaqīlan


  Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito.

Small toggle button
73:6
إِنَّ نَاشِئَةَ ٱلَّيْلِ هِىَ أَشَدُّ وَطْـًۭٔا وَأَقْوَمُ قِيلًا ٦

inna nāshi-ata al-layli hiya ashaddu waṭan wa-aqwamu qīlan


  Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.

Small toggle button
73:7
إِنَّ لَكَ فِى ٱلنَّهَارِ سَبْحًۭا طَوِيلًۭا ٧

inna laka l-nahāri sabḥan ṭawīlan


  Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.

Small toggle button
73:8
وَٱذْكُرِ ٱسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًۭا ٨

wa-udh'kuri is'ma rabbika watabattal ilayhi tabtīlan


  Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.

Small toggle button
73:9
رَّبُّ ٱلْمَشْرِقِ وَٱلْمَغْرِبِ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ فَٱتَّخِذْهُ وَكِيلًۭا ٩

rabbu l-mashriqi wal-maghribi ilāha illā huwa fa-ittakhidh'hu wakīlan


  Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.

Small toggle button
73:10
وَٱصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَٱهْجُرْهُمْ هَجْرًۭا جَمِيلًۭا ١٠

wa-iṣ'bir ʿalā yaqūlūna wa-uh'jur'hum hajran jamīlan


  Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.

Small toggle button
73:11
وَذَرْنِى وَٱلْمُكَذِّبِينَ أُو۟لِى ٱلنَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا ١١

wadharnī wal-mukadhibīna ulī l-naʿmati wamahhil'hum qalīlan


  Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!

Small toggle button
73:12
إِنَّ لَدَيْنَآ أَنكَالًۭا وَجَحِيمًۭا ١٢

inna ladaynā ankālan wajaḥīman


  Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!

Small toggle button
73:13
وَطَعَامًۭا ذَا غُصَّةٍۢ وَعَذَابًا أَلِيمًۭا ١٣

waṭaʿāman dhā ghuṣṣatin waʿadhāban alīman


  Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.

Small toggle button
73:14
يَوْمَ تَرْجُفُ ٱلْأَرْضُ وَٱلْجِبَالُ وَكَانَتِ ٱلْجِبَالُ كَثِيبًۭا مَّهِيلًا ١٤

yawma tarjufu l-arḍu wal-jibālu wakānati l-jibālu kathīban mahīlan


  Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

Small toggle button
73:15
إِنَّآ أَرْسَلْنَآ إِلَيْكُمْ رَسُولًۭا شَـٰهِدًا عَلَيْكُمْ كَمَآ أَرْسَلْنَآ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ رَسُولًۭا ١٥

innā arsalnā ilaykum rasūlan shāhidan ʿalaykum kamā arsalnā ilā fir'ʿawna rasūlan


  Hakika Sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi juu yenu, kama tulivyo mtuma Mtume kwa Firauni.

Small toggle button
73:16
فَعَصَىٰ فِرْعَوْنُ ٱلرَّسُولَ فَأَخَذْنَـٰهُ أَخْذًۭا وَبِيلًۭا ١٦

faʿaṣā fir'ʿawnu l-rasūla fa-akhadhnāhu akhdhan wabīlan


  Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.

Small toggle button
73:17
فَكَيْفَ تَتَّقُونَ إِن كَفَرْتُمْ يَوْمًۭا يَجْعَلُ ٱلْوِلْدَٰنَ شِيبًا ١٧

fakayfa tattaqūna in kafartum yawman yajʿalu l-wil'dāna shīban


  Basi nyinyi mkikufuru, mtawezaje kujikinga na Siku ambayo itawafanya watoto wadogo waote mvi?

Small toggle button
73:18
ٱلسَّمَآءُ مُنفَطِرٌۢ بِهِۦ ۚ كَانَ وَعْدُهُۥ مَفْعُولًا ١٨

al-samāu munfaṭirun bihi kāna waʿduhu mafʿūlan


  Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.

Small toggle button
73:19
إِنَّ هَـٰذِهِۦ تَذْكِرَةٌۭ ۖ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ سَبِيلًا ١٩

inna hādhihi tadhkiratun faman shāa ittakhadha ilā rabbihi sabīlan


  Kwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.

Small toggle button
73:20
۞ إِنَّ رَبَّكَ يَعْلَمُ أَنَّكَ تَقُومُ أَدْنَىٰ مِن ثُلُثَىِ ٱلَّيْلِ وَنِصْفَهُۥ وَثُلُثَهُۥ وَطَآئِفَةٌۭ مِّنَ ٱلَّذِينَ مَعَكَ ۚ وَٱللَّهُ يُقَدِّرُ ٱلَّيْلَ وَٱلنَّهَارَ ۚ عَلِمَ أَن لَّن تُحْصُوهُ فَتَابَ عَلَيْكُمْ ۖ فَٱقْرَءُوا۟ مَا تَيَسَّرَ مِنَ ٱلْقُرْءَانِ ۚ عَلِمَ أَن سَيَكُونُ مِنكُم مَّرْضَىٰ ۙ وَءَاخَرُونَ يَضْرِبُونَ فِى ٱلْأَرْضِ يَبْتَغُونَ مِن فَضْلِ ٱللَّهِ ۙ وَءَاخَرُونَ يُقَـٰتِلُونَ فِى سَبِيلِ ٱللَّهِ ۖ فَٱقْرَءُوا۟ مَا تَيَسَّرَ مِنْهُ ۚ وَأَقِيمُوا۟ ٱلصَّلَوٰةَ وَءَاتُوا۟ ٱلزَّكَوٰةَ وَأَقْرِضُوا۟ ٱللَّهَ قَرْضًا حَسَنًۭا ۚ وَمَا تُقَدِّمُوا۟ لِأَنفُسِكُم مِّنْ خَيْرٍۢ تَجِدُوهُ عِندَ ٱللَّهِ هُوَ خَيْرًۭا وَأَعْظَمَ أَجْرًۭا ۚ وَٱسْتَغْفِرُوا۟ ٱللَّهَ ۖ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۢ ٢٠

inna rabbaka yaʿlamu annaka taqūmu adnā min thuluthayi al-layli waniṣ'fahu wathuluthahu waṭāifatun mina alladhīna maʿaka wal-lahu yuqaddiru al-layla wal-nahāra ʿalima an lan tuḥ'ṣūhu fatāba ʿalaykum fa-iq'raū tayassara mina l-qur'āni ʿalima an sayakūnu minkum marḍā waākharūna yaḍribūna l-arḍi yabtaghūna min faḍli l-lahi waākharūna yuqātilūna sabīli l-lahi fa-iq'raū tayassara min'hu wa-aqīmū l-ṣalata waātū l-zakata wa-aqriḍū l-laha qarḍan ḥasanan wamā tuqaddimū li-anfusikum min khayrin tajidūhu ʿinda l-lahi huwa khayran wa-aʿẓama ajran wa-is'taghfirū l-laha inna l-laha ghafūrun raḥīmun


  Hakika Mola wako Mlezi anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za usiku, na nusu yake, na thuluthi yake. Na baadhi ya watu walio pamoja nawe kadhaalika. Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua kuwa hamwezi kuweka hisabu, basi amekusameheni. Basi someni kilicho chepesi katika Qur'ani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya Mwenyezi Mungu, na wengine wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na mshike Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni Mwenyezi Mungu mkopo mwema. Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Mwenyezi Mungu, imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana. Na mtakeni msamaha Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.